tazama wazungu wakicheza sindimba katika show ya jahazi modern taarab mkoani ruvuma wilaya ya songea

 prince amigo 
mc kichefuchefu akitambulisha albam yetu mpya ya chozi la mama ndani ya mkoa wa ruvuma wilaya ya songea. amigo pia ni kati ya wasanii sita ambao wanakwenda ikamilisha albam hiyo uku yeye aki simama na nyimbo ya [TIBA YA MAPENZI}
 Mohamed Ally (mtoto pori)
msanii kutoka jahazi modern taarab Mohamed ally mtoto pori akitoa radha kwa wakazi wa songea.
 Malkia Leyla binti Rashidi nae alisababisha kiupande wake na single yake mpya ya (fanya yako)
ambayo iko ndani ya albam yetu mpya.

 Fatma Mcharuko 
mtoto wa kizanzibar kwa sasa anajita fatma nyoro mwanamke imara. Fatma ni kati ya wasanii sita kutoka kundi zima la jahazi modern taarab ambao wanakwenda ikamilisha albam yetu ya kumi ya (chozi la mama)
 SONGEA STAND UP
 Mfalme mzee yussuf akitambulisha nyimbo yake mpya iliobeba albam chozi la mama ndani ya mkoa wa Ruvuma wilaya ya Songea.
 jahazi modern taarab artist.
 haya sasa muda wa kucheza sindimba ukafika na wageni wakajimwaga kwa nakshi na ndelemo huku wa tanzanite kule wazungu haya endelea kutazama utamu wa sindimba kwenye picha za chini.
 Tucheze sindimba............
Tucheze sindimba............
 Tucheze sindimba............
JAHAZI MODERN TAARAB ASS. DIRECTOR KHAMIS BOHA MWENYE JEZI YA NJANO KATI KATI
STORY /PICTURE BY.HAJI MABOVU
JAHAZI MODERN TAARAB TOUR @ 2014 SONGEA
     FOLLOW INSTGRAM/JAHAZIMODERNTAARAB
          FOLLOW TWITTER/JAHAZIMODERNTARAAB
Share This

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment