MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI TAREHE 6-8 /03/2014


Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani katika Mkoa
wa Dar es Salaam
yatafanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Temek
e katika Viwanja vya
Mwembeyanga, ambapo uzinduzi utafanyika tarehe 6/03
/2014 na kilele
itakuwa ni siku ya Jumamosi tarehe 8/03/2014.
Chimbuko la Siku ya wanawake Duniani lilianza miaka
mingi na mtakumbuka
mwaka 1911 Wanawake kule Nchini Marekani waliandama
na kudai haki zao
ambazo walikuwa wakizikosa kama vile:
kulipwa ujira mdogo,
kufanyishwa
kazi ngumu na kwa
masaa mengi,
kukosekana kwa huduma za jamii na
ubaguzi wa kijinsia. Mara baada ya Umoja wa Mataifa
kuanzishwa mwaka
1945,
lilipitishwa azimio kwamba tarehe 08 Machi ya kila
mwaka iwe ni Siku
ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani.
Kwa hiyo, wanawake wote duniani wanaadhimisha siku
hii kwa
kukumbushana kwa ajili ya kuweka mikakati zaidi ya
kukabiliana na
changamoto mbalimbali zinazowahusu Wanawake
.
Miongoni mwa
changamoto hizo ni wanawake kutopewa haki sawa kati
ka ngazi za maamuzi
na kutoshirikishwa.
Wanawake katika jamii hutoa mchango
mkubwa katika
kutunza familia,

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment