jahazi modern taarabu wadondosha bonge la burudani ndani ya wilaya ya nzega mkoa wa tabora bofya utazame ilivyo kuwa

 jahazi modern taarab wangusha show ya nguvu ndani ya mkoa wa songea pande za nzega kuhakikisha watu wa nzega wanapata burudani iliyo kamili
 mfalme mzee yussuf akiwapa nakshi kidogo wapenzi wa jahazi ndani ya jiji la nzega mkoani tabora
 father mauji daktari wa meno mpiga solo wa jahazi mohamedi mauji nae alihakikisha kuwa anafanya kazi vizuri na wakazi wa nzega wanapata raha katika show ambayo ilikwenda kwa jina la usiku wa jiti usiku wa nunu nunu
                          mfalme mzee yussuf
    babu ally kichupa unaweza mwita ivyo mpiga kinanda wa jahazi modern taaarab akiwapapasia kinanda waone rahaaaaaaa wakazi wa nzega
 kama unavyojua mziki raha yake kucheza sasa hawa wamenogewa zaidi wameamua kuwaonyesha watu dhahiri kuwa hapana chezea wao huyu ni bwana ally hassan na bibie mariam salim ni wapenzi wa muda wa miaka 6 sasa wamekuja kupata raha kidogo kwenye band yao ya jahazi modern taarab
                                 mzee yussuf


                                      mc mabobish

 haya sasa muda wa kupeana stara ulifika bibie rahma machupa aliwapa stara wakazi wa nzega na waka starika zaidi walivyo fikiri
                            rahma machupa
                                           Rahma machupa
     khadija yussuf sauti ya chiriku nae alitamba kwenye jukwaa ilo la usiku wa jitii ama usiku wa nunu nunu ndani ya nzega mkoani tabora
                                   khadija yussuf
                              khadija yussuf
      fatma mahmud unaweza mwita fatma mchuruko nae alilifanya tamasha la usiku wa jiti lipendeze zaidi haswa pale alipoimba nyimbo ya marupe rupe watu walinyanyuka na kucheza kwa furaha zaidi kiukweli ilikuwa ni siku ya matumaini kwa kila mtu alie shiriki
                                mussa bezzz
                                     fatma mcharuko
habari/picha>haji mabovu

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment