Malkia leyla rashidi akishambulia jukwaa villa park
Malkika Leyla
Malkika Leyla
Khadija binti Yussuf akishambulia jukwaa Villa Park Mwanza
Kushoto pichani ni Fatma Mcharuuko, Malkia Leyla, Rahma Machupa
Fatma Ally {mama shughuli} msanii mkongwe kotoka band ya jahazi
modern taarab yupo tangu kuanzishwa kwake paka sasa bado anazidi
kuonyesha umahili wake wa kuimba na kucheza akiwa ndani ya steji kubwa
ya ukumbi wa Villa Park Mwanza
Jahazi modern taarab crew
Big dady Mfalme Mzee Yussuf akionyesha ukongwe na umahiri
zaidi kuwa yeye bado ni mfalme wa taarab baada ya kufungua kibao chake
kipya mjini hapo kitwacho mahaba niuwe na kupokelewa vizuri na wakazi wa
mwanza kisha kuimba nao pamoja
BIG DADY ON DA STAGE
BIG DADY ON DA STAGE
PICHA NA MATUKIO ZAIDI YA HARAKA TUFATE KWENYE UKURASA WETU WA INSTAGRAM NA FACE BOOK /JAHAZIMODERNTAARAB
0 comments :
Post a Comment