the east african melody yawa mshindi wa pili katika mashindano haya ya mtunzi bora wa nyimbo ya kuimarisha mungano (upande wa band za taarab)
mashujaa band akitumbuiza chini yake chars baba mzee wa masauti
kwa upande wa mashindano yachukuwa nafasi ya tatu (band za dance) mshindi wa kwanza ni msondo ngoma na wapili ni kundi la wazee linaongozwa na king kikii
hawa ndio majaji wa siku ya leo
Khadija binti yussuf akifanya yake katika sherehe hizo
JAHAZI MODERN TAARAB CREW
MZEE YUSSUF NA MALKIA LEYLA RASHIDI NDANI YA JUKWAA MOJA MZEE AKIWA NA MSULI MALKIA AKIWA NA KHANGA KUONYESHA KUWA BARA NA VISIWANI BADO TUNAITAJI MUNGANO WETU UZIDI KUENDELEA
JAHAZI MODERN TAARAB CREW
KIJANA AKIFANYA HATARI YA KUCHEZA NA MOTO
VIONGOZI WA BAND WAKISIKILIZA MATOKEO YAO HAPO JANA
MKURUGENZI MIPANGO HAMIS BOHA KUTOKA JAHAZI MODERN TAARAB AKIENDA KUFUATA TUZO YA BAND BORA YA TAARAB KWENYE UTUNZI WA NYIMBO BORA YA KUIMARISHA MUNGANO JAHAZI ILIJISHINDIA SH. MILIONI MOJA
0 comments :
Post a Comment