tazama picha za matukio ya show ya mitikisiko ya pwani iliyo andailiwa na times fm jana mjini tanga

 eric wa vituko show nae alikuwa kama mshereheshaji katika onesho hilo la mitikisiko ya pwani mjini tanga kuhakikisha wapenzi wa taarab wanafurahia na times fm 100.5 ilikuwa hatari sana mjini tanga
 mwite imeraa soro mtoto shujaa mtoto wa kitaa mpiga solo wa jahazi nae alihakikisha anafanya mambo mazuri na show ya mitikisiko ya pwana inakuwa pouwa zaidi mjini tanga
 super kinanda mazoe akiwapapasia kinanda wakazi wa tanga katika viwanja vya mkwakwani team ya times fm 100.5 ilikuwa imeandaa show hiyo
        imeraa soro
                                               mama wa nunu akiwapa raha wakazi wa jahazi mkoani tanga.
 fatma shobo
   Dida wa mchops kama kawa mama ambae hakaukiwi maneno anasema mpaka na paka wa uwani yani dada ambae anakimbiza zaidi kwenye vipindi vya mipasho yaaani taarab kupitia kipindi cha mitikisiko ya pwani kinacho milikiwa na times fm 100.5
 Dida wa Mchops
mohamedi ally mtoto pori akimpa tunza mwanamziki wa taarab kupitia kikundi cha kimbegu modern taarab kinacho patikana mjini tanga.
Mwanamziki wa kimbegu Modern Taaarab
      Mwanamziki wa Kikundi cha kimbegu Modern Taaarab
mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa tanga bi asma akiongea na wakazi wa tanga katika show ya mitikisiko ya pwani hapo jana usiku.
Sauti ya chiriku bibie Khadija Yussuf nae alifanya wapenzi wa jahazi modern taarab wajiskie vizuri  na burudani za kutosha kwa wakazi wa tanga
                                                                    Rahma Machupa
 Rahma Machupa








Malkia wa mipasho Tanzania khadija omar kopa aliwapa burudani nzuri wakazi wa tanga
                                Mohamed ally,PRINCE AMIGO & ERIC
Mohamed ally,PRINCE AMIGO & ERIC

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment