MITORO MIPYA YA BARABARA YA BAGAMOYO YAGEUZWA SEHEMU YA KUTUPIA TAKATAKA



Hii Ndio Hali halisi ya Mitaro ambayo haina hata mwaka mmoja toka Itengenezwe katika barabara ya Bagamoyo Maeneo ya Mbezi Samaki ...Wananchi wa Maeneo Hayo Wameigeuza sehemu ya kutupia Takataka hasa za Majumbani....Baada ya Miaka Miwili Hii Mitaro Itakuwaje? Nini Kifanyike?

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment