Hii Ndio Hali halisi ya Mitaro ambayo haina hata mwaka mmoja toka Itengenezwe katika barabara ya Bagamoyo Maeneo ya Mbezi Samaki ...Wananchi wa Maeneo Hayo Wameigeuza sehemu ya kutupia Takataka hasa za Majumbani....Baada ya Miaka Miwili Hii Mitaro Itakuwaje? Nini Kifanyike?
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment